mkorinto JF-Expert Member Joined Jun 11, 2014 Posts 32,086 Reaction score 39,573 Sep 8, 2014 #1 Wakuu habari? Kwa yeyote mwenye maujuzi na simu tajwa hapo juu. Tatizo kila niki install application, inaniambia file manifest, au error no space available. Tatizo nini? Au niguse wapi kwa marekebisho. Naomba msaada.
Wakuu habari? Kwa yeyote mwenye maujuzi na simu tajwa hapo juu. Tatizo kila niki install application, inaniambia file manifest, au error no space available. Tatizo nini? Au niguse wapi kwa marekebisho. Naomba msaada.
Mtu-Pori JF-Expert Member Joined Nov 13, 2011 Posts 1,308 Reaction score 1,520 Sep 8, 2014 #2 Hiyo simu ina internal memory ndogo sana ya 1GB, labda uwe na memory card, baadhi ya apps huweza kukaa kwenye memory card.
Hiyo simu ina internal memory ndogo sana ya 1GB, labda uwe na memory card, baadhi ya apps huweza kukaa kwenye memory card.