mkorinto JF-Expert Member Jun 11, 2014 30,749 37,359 Sep 8, 2014 #1 Wakuu habari? Kwa yeyote mwenye maujuzi na simu tajwa hapo juu. Tatizo kila niki install application, inaniambia file manifest, au error no space available. Tatizo nini? Au niguse wapi kwa marekebisho. Naomba msaada.
Wakuu habari? Kwa yeyote mwenye maujuzi na simu tajwa hapo juu. Tatizo kila niki install application, inaniambia file manifest, au error no space available. Tatizo nini? Au niguse wapi kwa marekebisho. Naomba msaada.
Mtu-Pori JF-Expert Member Nov 13, 2011 1,255 1,350 Sep 8, 2014 #2 Hiyo simu ina internal memory ndogo sana ya 1GB, labda uwe na memory card, baadhi ya apps huweza kukaa kwenye memory card.
Hiyo simu ina internal memory ndogo sana ya 1GB, labda uwe na memory card, baadhi ya apps huweza kukaa kwenye memory card.