Naomba msaada jamani....

Naomba msaada jamani....

Highlander

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2012
Posts
3,093
Reaction score
1,077
Moderators na wengine tafadhali naombeni msaada jamani.

Kuna mtu wa karibu na mimi anahama jiji la Dar es Salaam kurudi kwao kutokana na umri.
Anataka kuuza eneo alilokuwa anamiliki ili kumwezesha kuanza maisha mapya nyumbani.
Tafadhali tusaidieni jamani kumpata mnunuzi wa eneo hili.

Atayewezesha kuuzwa kwa eneo hili atapewa kilemba fulani cha juu kwa maana ya fedha ya asante.
Picha ya eneo ipo katika file attachment hapa. Ipo salama ifungue tu usiogope VIRUS.
Ukitaka mawasiliano ya karibu nitupie PM hapa JF.

Asanteni sana Mods kuruhusu ombi hili kubakia hapa...View attachment 87617
 

Attachments

Sasa zaidi ya kuweka mapicha ya satellite hayo ungesema lina ukubwa gani na linauzwa bei gani
 
Sasa zaidi ya kuweka mapicha ya satellite hayo ungesema lina ukubwa gani na linauzwa bei gani

Mwenyewe anasema bei ni maelewano. Kwa hiyo mtu anaenda kuangalia halaf wanaongea bei. Ukubwa ni meta 35 x 25 Mkuu.
 
Moderators na wengine tafadhali naombeni msaada jamani.

Kuna mtu wa karibu na mimi anahama jiji la Dar es Salaam kurudi kwao kutokana na umri.
Anataka kuuza eneo alilokuwa anamiliki ili kumwezesha kuanza maisha mapya nyumbani.
Tafadhali tusaidieni jamani kumpata mnunuzi wa eneo hili.

Atayewezesha kuuzwa kwa eneo hili atapewa kilemba fulani cha juu kwa maana ya fedha ya asante.
Picha ya eneo ipo katika file attachment hapa. Ipo salama ifungue tu usiogope VIRUS.
Ukitaka mawasiliano ya karibu nitupie PM hapa JF.

Asanteni sana Mods kuruhusu ombi hili kubakia hapa...View attachment 87617
Mwambie kurudi kijijini ni balaa zaidi. Afadhali zimwi likujualo (abaki alipo sasa-Dar) kuliko zimwi jipya (kurudi kijijini -Malangali) maana changamoto za kijijini ni balaa.
 
Mwambie kurudi kijijini ni balaa zaidi. Afadhali zimwi likujualo (abaki alipo sasa-Dar) kuliko zimwi jipya (kurudi kijijini -Malangali) maana changamoto za kijijini ni balaa.

Ha ha ha. We umejuaje ni Malangali? Huyu Malangali anapita mtu wangu. Nadhani anataka tu kuhamisha asset iende mji mwingine karibu na kwao. Zimwi linaloitwa Dar es Salaam bila hela wala halikujui...

Tafadhali angalia hii attachment Mkuu. Hapa ndipo panauzwa:
 
Eneo bado lipo wapendwa.
Tafadhali Click attachment kuliona.

Mods wetu nawashukuru sana kwa msaada huu...
 
Bei maelewano maana yake nini...???
Akupe bei walau mtu aamue kuja akiwa anajua mwanzo, mambo ya kuja alafu unakuta kinauzwa 200M so inshu!
Mwambie akupe na bei yake, alafu makubaliano yatafuata, au bei anaruhusiwa kupanga mnunuaji????
Haya mwambie achukue 5M!!!
 
I wouldnt sale it!! kwa nini asijenge kijumba apangishe atakuwa anapata vijisenti kila mwezi!
 
Angekuambia bei ingekua msaada sana

Asante Mkuu Shark. Tatizo la kutaja bei ni kwamba unaweza kumnyima mtu hamu ya kufika pale kuona. Unazima hamu ya kuona tuonavyo sisi. Ndo hilo hasa. We nenda tu pale. mtaelewana tu. Unaweza ukute baada ya kupaona ukashawishika hata kukopa mahali ujazie palipopelea. Au unaonaje hilo mkuu Shark?
 
I wouldnt sale it!! kwa nini asijenge kijumba apangishe atakuwa anapata vijisenti kila mwezi!

Ha ha ha ha! Hii hapa imekaa vizuri: If you love something, set it free; if it comes back.....its yours,...
if it doesn't.......hunt it down and
kill it!:fencing: (hapa umechakachua kiduuchu, Amoeba; msemo huu huishia hivi...If it doesn't come back it was never meant to be yours!")


Mwenzio kaamua kuset plot yake free! ha ha ha ha.... unaionaje hiyo mkuu Amoeba....
 
Ha ha ha ha! Hii hapa imekaa vizuri: If you love something, set it free; if it comes back.....its yours,...
if it doesn't.......hunt it down and
kill it!:fencing: (hapa umechakachua kiduuchu, Amoeba; msemo huu huishia hivi...If it doesn't come back it was never meant to be yours!")


Mwenzio kaamua kuset plot yake free! ha ha ha ha.... unaionaje hiyo mkuu Amoeba....

Hahahaa, you dont SIMPLY LET GO kwa kisingizio ati IT NEVER MEANT TO BE YOURS!!
Huyo jamaa aliyeamua kuachia plot yake iondoke namshangaa sana, ana mambo ya kizamaani enzi zile mtu hajengi mpaka astaafu akajenge kwao!!!!! Labda kama ana matatizo mengine, ni bora hiyo plot achukulie mkopo afanyie biashara!!!!
 
Asante Mkuu Shark. Tatizo la kutaja bei ni kwamba unaweza kumnyima mtu hamu ya kufika pale kuona. Unazima hamu ya kuona tuonavyo sisi. Ndo hilo hasa. We nenda tu pale. mtaelewana tu. Unaweza ukute baada ya kupaona ukashawishika hata kukopa mahali ujazie palipopelea. Au unaonaje hilo mkuu Shark?
Kweli Mkuu wangu, hapo umenena.
Bei inaweza ikakimbiza wateja kumbe ni pazuri.
Sida inakuja sasa kila mtu ana range yake ya bei ambayo anatafutia viwanja.
Mwengine anaweza akasema "Mi nkipata kiwanja cha 4Mil nanunua,
Mwengine aka-set preference kwenye kiwanja cha 10Mil, mwengine 20Mil, wapo mpaka wa 100Mil kwa ajili ya kiwanja tu.

Sasa hapa kukiwa hakuna bei basi hawa wote watajisumbua kuja kumbe sio wote wanaokihitaji
 
Asante Mkuu Shark. Tatizo la kutaja bei ni kwamba unaweza kumnyima mtu hamu ya kufika pale kuona. Unazima hamu ya kuona tuonavyo sisi. Ndo hilo hasa. We nenda tu pale. mtaelewana tu. Unaweza ukute baada ya kupaona ukashawishika hata kukopa mahali ujazie palipopelea. Au unaonaje hilo mkuu Shark?
lazima kuwe na bei ya kuanzia kulingana na market value....ndio namna ya kufanya biashara...kwa namna hii haji mtu ng'o
 
lazima kuwe na bei ya kuanzia kulingana na market value....ndio namna ya kufanya biashara...kwa namna hii haji mtu ng'o


Kweli Mkuu wangu, hapo umenena.
Bei inaweza ikakimbiza wateja kumbe ni pazuri.
Sida inakuja sasa kila mtu ana range yake ya bei ambayo anatafutia viwanja.
Mwengine anaweza akasema "Mi nkipata kiwanja cha 4Mil nanunua,
Mwengine aka-set preference kwenye kiwanja cha 10Mil, mwengine 20Mil, wapo mpaka wa 100Mil kwa ajili ya kiwanja tu.

Sasa hapa kukiwa hakuna bei basi hawa wote watajisumbua kuja kumbe sio wote wanaokihitaji


Hoja zenu zimeleta msaada fulani. Ngoja tuweke maelezo kidogo basi:

Target CLIENT ni mtu anataka sehemu ya kujenga Vitu vifuatavyo--Labda Guest House, Labda Baa kubwa, Mini Supermaket, au kitu kikubwa cha biashara, Kwa kweli eneo ni kubwa tosha kufanya kitu cha maana. Panafikika kwa gari, miundombinu ya Maji na Umeme vipo ingawa maji hayatoki kwenye bomba zake.

Eneo lina ukubwa wa mita 35 x 25. Proximity yake kutoka EPZ ya Ubungo, Viwanda vya Ubungo, Chuo Kikuu Mlimani na mfumo wa Usafiri kuelekea katikati ya jiji vimekaa vizuri sana hapa mahali ni Prime Area. Pana hati ya Makazi.

Karibu upaone. Ila usije na Milioni 5, wala 40. Jivute kidogo. Badala ya kununua Flat ya NHC yenye vyumba vitatu vya kulala kwa Milioni 170/-, Chukua hapa kwa half price ya flat ya NHC utoe Flat za kwako kupangisha kama hutaki kujenga baa hapo. Eneo limekuwa haraka sana siku za karibuni na linaelekea kuwa eneo la upper middle class kama Sinza.

Karibu sana
 
Zamazamani, Lait noir, georgeallen, Shark, popular, Amoeba,

He, jamani, mbona kimya tena... Mliomba bei, bei nimewapa naona jiiii. Hakuna PM, hakuna anayeomba kupunguziwa.
Hata jamaa na marafiki hakuna kabisa uko? Kiwanja bado kipo sokoni jamani.

No offense Mkuu but Sio hao tu! hata sisi wengine imebidi kutafakari ku deal nawe Mkuu. bei unataja kwa uwoga kama tunacheza kidali po 🙂 picha unatuwekea satelite. piga tu picha ya nyumba yenyewe kisha weka bei. na watu wakiamua kuja ina maana wana imani maelewano yatakuwepo. kama mtu hakuamua kuja ina maana hakuna kitakacho mshawishi .
Kila la kheri ila jaribu kufunguka tu. acha janja ya nyani. kuna watu humu cant be fooled. they deal with over hundreds of people of that type every week. ONE!! can never be a problem 🙂 nashauri tu Mkuu, usione nakandamiza mambo.
 
No offense Mkuu but Sio hao tu! hata sisi wengine imebidi kutafakari ku deal nawe Mkuu. bei unataja kwa uwoga kama tunacheza kidali po 🙂 picha unatuwekea satelite. piga tu picha ya nyumba yenyewe kisha weka bei. na watu wakiamua kuja ina maana wana imani maelewano yatakuwepo. kama mtu hakuamua kuja ina maana hakuna kitakacho mshawishi . Kila la kheri ila jaribu kufunguka tu. acha janja ya nyani. kuna watu humu cant be fooled. they deal with over hundreds of people of that type every week. ONE!! can never be a problem 🙂 nashauri tu Mkuu, usione nakandamiza mambo.
Asante kwa ushauri
 
BADO HAPA PANAUZWA:

Target CLIENT ni mtu anataka kujenga Labda Guest House, Baa kubwa, Mini Supermaket, au kitu kikubwa cha biashara, Eneo ni kubwa kufanya kitu cha maana. Panafikika kwa gari, miundombinu ya Maji na Umeme vipo ingawa maji hayatoki.

Ukubwa ni mita 35 x 25. Proximity yake kutoka EPZ ya Ubungo, Viwanda vya Ubungo, Chuo Kikuu Mlimani na mfumo wa Usafiri kuelekea katikati ya jiji vimekaa vizuri sana ukiwa kwenye eneo hili. Hapa ni Prime Area. Pana hati ya Makazi. Karibu upaone.

Badala ya kununua Flat ya NHC ya vyumba vitatu vya kulala kwa Milioni 170/-, Chukua hapa kwa half price ya flat za NHC.
contact number: 0788917646 sms only
au PM Highlander
 
Back
Top Bottom