0762713479
Member
- Oct 10, 2017
- 8
- 1
Mimi ni kijana ninasoma ngazi ya diploma mwaka wa kwanza katika chuo cha ualimu tabora nachukua CHEMISTRY and BIOLOGY. Nilitafuta shule nikafundisha nikapata hela kidogo ya kuanzia muhura wa kwanza wa masomo. Mwezi wa tatu tulifunga chuo mwezi mmoja nikaenda nyumbani kutafuta ada . Saizi tumefungua chuo ila nilienda kuvua samaki ukerewe nikapata laki mbili na ninatakiwa nilipe laki tano maana niliacha deni uko nyuma ndo niweze kusajiliwa na kupewa godoro ili tuanze muhura wa pili. Naomba Wana jf yeyote mwenye uwezo anisaidie