Naomba mnishauri

Naomba mnishauri

Habarin za jumapili waungwana. Natumain wote ni wazima wa afya. Naomba nishauriwe kuhusu hili. Ninampenzi wangu ninampenda sana na yeye ananipenda, imefikia hatua ya kunitaka nipeleke barua kwao ya posa. Kuna mambo ananifanyia nikimpgia sim, mara nipo na mama, nipo church, nitakupigia baadae kidogo, nmelala na shangazi. Hivi kweli nikimuoa atanifaa huyu?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Hayatuhusu. Haya ni mambo yako binafsi.
 
Habarin za jumapili waungwana. Natumain wote ni wazima wa afya. Naomba nishauriwe kuhusu hili. Ninampenzi wangu ninampenda sana na yeye ananipenda, imefikia hatua ya kunitaka nipeleke barua kwao ya posa. Kuna mambo ananifanyia nikimpgia sim, mara nipo na mama, nipo church, nitakupigia baadae kidogo, nmelala na shangazi. Hivi kweli nikimuoa atanifaa huyu?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Usiharakishe kupeleka barua ya posa,endelea kumchunguza,Time will tell...
 
Asante sana nemulo

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Kama haukutaka kutoa ushauri ungekaa kimya Mwanamalundi

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Tumia muda wako huu kwa kumchunguza kwa ukaribu kama ana mtu mwingine au ni kweli anakuwa anabanwa na shughuli au hayo mambo mengine kama asemavyo.
Usijiwahi kupeleka posa kwanza maana unaweza cheza pata potea.
Na kama anakupenda kweli na yupo tayari kuolewa nawe, kwa nini asiwe muwazi kwa wazazi wake ili awe guru kuongea nawe muda wowote ukimpigia?
Kuwa makini na chukua hatua.
 
Asante sana Asulo

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Anapatika IBM

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Thirty years kibheri


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Poa nimekuelewa Kisali.Technitianjr

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli watu wengine hawaelewi, mtu nimesema mnishauri yeye anaongelea mambo mengine. Hajielewi huyo mpotezee tu. Muk

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
mh we ndo unamjua vizuri na sioni sababu ya wewe kuwa na wasiwasi nae.
 
kama yupo na mama ndo nini sasa hawezi kuongea na ww au kwa vile shangazi yupo? Hana sababu za maana! Ukiona mpenzi anaanza visababu ambavyo hapo awali hakua navyo ujue kuna jambo na walakini! Chukua tahadhari
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom