Karibu Manyanza, mi mwenyewe nilicreate account 2007, ila nikawa kama mgeni mpaka December 2010 ndo nikajiunga rasmi, so mgeni sio peke yako tupo wengi...
Nijisike uko nyumbani, kuna mengi ya kujifunza, kama Kloro daktari wetu wa jamii alivosema usiwe na hasira na uta-enjoy sana.....
Humu kuna restaurants za bure na wahudum kila kona...usijali hamna kulipia...hebu pata kwanza kahawa wakati unaangalia menu...:coffee: