Naomba mnipe nguvu ya kusonga mbele!

Naomba mnipe nguvu ya kusonga mbele!

odamae

Senior Member
Joined
Nov 5, 2020
Posts
163
Reaction score
291
...
 

Attachments

  • Screenshot_20210323-145510.jpg
    Screenshot_20210323-145510.jpg
    24.1 KB · Views: 10
  • IMG_20210323_132820_1616500271828_1616500296471_1616500392830.jpg
    IMG_20210323_132820_1616500271828_1616500296471_1616500392830.jpg
    24.9 KB · Views: 8
Mbona kama una tulingishia kijana ..
No! I can t do that nimepitia mengi sana nilichanganywa akili mwaka wa kwanza sikuwa sawa na matatizo mengine ni Mungu tu alisimama angekuwa mwingine angeacha chuo
 
Stress na ku attach matokeo yako kwa ufaulu huo una maanisha Nini ❓
 
Mwaka wa masomo 2020/2021 ndio kwanza semester ya kwanza inamalizika week hii.wewe matokeo ya mwaka mzima umeyatoa wapi?
 
Nimekuwa mtu wa kukata tamaa na mawazo kila siku tangu nimeanza chuo sijawahi kufurahi ni kusoma na msongo wa mawazo!

Kila siku iendayo kwa Mungu sijawahi kufurahia ninachokisoma naombeni mnipe moyo au nguvu nikamalizie huu mwaka wa mwisho.

Matokeo yangu naweka hapa chini ya mwaka wa kwanza na wa pili semista 4 ya chini mtahitaji kuzoom!


View attachment 1732491View attachment 1732492
si kwa ubaya hivi wewe ndo yule singo maza mwenye ule uzi nimeusoma mda ivi alete mara moja apa
 
Back
Top Bottom