Rev Fr KABOKA mchizi
Member
- Feb 20, 2012
- 93
- 11
Habr zenu wanaJf, kuna mdogo wangu kafeli form4 ana D 3, sasa kuna chuo nimesikia kinatangazwa radio clouds kinaitwa SAMFELIS kipo maeneo ya Victoria na kimesajiliwa na NACTE. Kama kuna mwanaJF anakifaham kwa undan tafadhali anijuze.
Wenu ktk utumishi Rev Fr KABOKA mchizi
Wenu ktk utumishi Rev Fr KABOKA mchizi