Naomba Mnijuze Tafadhali

WanaMMU-JF..........habari za weekend?

Kwa muda mrefu nimekuwa nikisikia kuwa katika mahusiano na mapenzi kuna aina mbili za wanawake
1. Wale wenye kismat....yaani bahati flani kiasi kwamba akiwa kwenye mahusiano na mkaka basi huyo kaka mambo yake yanakuwa tambarare........
2. Wale ambao huwa wanakuwa kama wana nyota mbaya (wenyewe huita gundu???) ambao wakiwa kwenye uhusiano basi wenzi wao huwa na wakati mgumu sana kwani hakuna kinachofanikiwa be it kikazi, biashara yaani kimaisha kwa ujumla!!...

(Sasa sijui in yale ya Hayati Sheikh Yahya!)

So naomba msaada wa kujua yafuatayo
1. Je kuna ukweli wowote katika hili? na
2. Kama ni kweli, je na upande wa wanaume nao wapo wenye kismati na wasio nacho?

ni hayo tu, aksanteni

Kuna mambo mengine yanapuuzwa na jamii fulani kwa vile sio ya kisayansi, lakin yana effect kubwa kwa binadamu. Ndio kama hili.
Kuna imani pia kama mzazi wako amefariki huku hujatimiza alichokwambia ufanye kabla hajafa, basi unakuwa umeua bahati zako zote ktk maisha. Kwa mimi na Mbu inaweza isifanye kazi (yaani tusiamini ndo sababu ya mikosi yetu) lakin kwa Nyani Ngabu na Dark City ikafanya kazi.

So mimi nadhani ni aina fulani ya imani ambayo mtu anaweza akawa amekua nayo tangu anakuwa, au amejiaminisha hivyo.
Kwahiyo, kupitia hiyo imani unakuwa "unajidhuru mwenyewe" (Nieleweni vizuri hapa)
 
Hahahahah! lol! Kumbe eeh! unaonekana mkali sana wa madudu haya
:focus:

Kaka,....Sssshhh, hiyo ni copy & paste bana. Si unakumbuka enzi za mlungula?
haya maswali mfululizo ya Mwj1 yatanipelekea kuota nahojiwa Central Police!

Hahahah Mbu bwana...........we ulikimbia kusoma masomo ya Essay loh
pole bana

...mnh, si afadhali ingekuwa Essay! hii ni sawa na kujaza Police Report - Kisheria!
 
Hahahah hana lolote huyo, anajijua ati ye mtu wa x = f(xi-xj) sijui sasa umwambie ajibu essay wapi na wapi?? anakimbia tu

Mwj1...tatizo wajua ni nini Mpenzi?
akili inataka kukubali haya mambo ya "Zari" sijui bahati, kismati, mkosi nk...
inapokuja suala la kulaumiana eti mnazibiana nyota kwenye ndoa mnh!...mimi sikubaliani nayo bana.
 
Kaka,....Sssshhh, hiyo ni copy & paste bana. Si unakumbuka enzi za mlungula?
haya maswali mfululizo ya Mwj1 yatanipelekea kuota nahojiwa Central Police!



...mnh, si afadhali ingekuwa Essay! hii ni sawa na kujaza Police Report - Kisheria!

Hahaahah haya bwana kalale sasa.......natumaini kesho utawezanijibu loh nisijesababisha mengine bure nkakuharibia usiku wako mydia.
Hala hala usijentaja usiku afu 'Wifi" akamind.
 
Mwj1...tatizo wajua ni nini Mpenzi?
akili inataka kukubali haya mambo ya "Zari" sijui bahati, kismati, mkosi nk...
inapokuja suala la kulaumiana eti mnazibiana nyota kwenye ndoa mnh!...mimi sikubaliani nayo bana.

Nakubaliana nawe dia ila pia linapokuja swala la ndoa nadhani huwa kuna baraka flani hivi ambayo MUNGU huipitishia kwenye ndoa kwa ajili ya mafanikio ya kifamilia kwa yule anayechakarika......
 
Mie zamani nilishawahishutumiwa na mtu kuwa nimeyaharibu maisha yake nothing seems to be right like they used to be, psa imemkimbia na madili yanayeyukia mlangoni!! Sasa nimebaki najiuliza kama ni kweli!
Toka niwahi kusoma posts zako 'za kulivua penzi' n.k. huko nyuma na sasa unasomeka kutokuwa na bahati katika 'sekta' ya mapenzi. Inaonekana uliumizwa vya kutosha. Pole shoga. Mungu atakupa tu 'kismati' na si 'li gundu'
 
Mie nimeliona but nikahisi watakuwa wanajuana hawa MTM na The Boss, Ni waarabu wa Pemba hawa kamanda wangu.
khe khe kheheheeeeeeeeeeee.... hili kamanda wangu si la kweli, hatujuani wala nini

yaleyale ya mbande!!!
 
Positive na negative, na good na bad influences zipo bana. Na uwepo wake si wa kiimani bali ni wa kiuhalisia kabisa.



nikupe mfano rahisi
una duka la nguo mfano kariakoo
halafu una wasichansa wawili,tuwaite angel na juliet

uki sleep na juliet mauzo hayapungui milioni 5
uki sleep na angel mauzo haya zidi milioni 3

na inatokea soo often.....
sasa hapo scientific analysis iko vipi?
 
hakuna cha influence

mwanamke mshirikina na ambaye ameshaua huko nyuma
atakuwa na mkosi tu

ukilinganisha na mwanamke mwenye roho safi
na hana damu mikononi mwake

E bana ee...ha ha ha! The Boss unaonekana mtu wa vitambaa vyeusi wewe, LOL!

Kuna mambo mengine yanapuuzwa na jamii fulani kwa vile sio ya kisayansi, lakin yana effect kubwa kwa binadamu. Ndio kama hili.
Kuna imani pia kama mzazi wako amefariki huku hujatimiza alichokwambia ufanye kabla hajafa, basi unakuwa umeua bahati zako zote ktk maisha. Kwa mimi na Mbu inaweza isifanye kazi (yaani tusiamini ndo sababu ya mikosi yetu) lakin kwa Nyani Ngabu na Dark City ikafanya kazi.

So mimi nadhani ni aina fulani ya imani ambayo mtu anaweza akawa amekua nayo tangu anakuwa, au amejiaminisha hivyo.
Kwahiyo, kupitia hiyo imani unakuwa "unajidhuru mwenyewe" (Nieleweni vizuri hapa)

...Umeona ee?

Hizi Imani potofu ni utumwa bana.
eti uamkie ubavu wa kulia...ukishuka kitandani anzia na mguu wa kulia,...
Inabidi uchungulie siku na saa ya kuoa....

Kisa cha kujiadhibisha kote huko? eti kung'arisha nyota!..No way bana.
Failures zangu zote zinatokana na uvivu na uzembe wangu, full stop.
Kwa mbaali naamini majaaliwa ya mwenyezi mungu, lakini simlaumu madhali kanijaalia
akili timamu na viungo kamili...it's all about my timings and being at the right place.
 
mkuu mbu mi ni muafrica
naweza sema nina bahati kuwa
namuamini mungu sana
but thru experience
ningeweza kuwa mshirikina sana
i was lucky kwamba niliona mungu pekee yake anatosha
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
honestly thru experience
nawaogopa mno watanzania wanaojifanya hawaaamini
ushirikina.....
most of them ndio magwiji mno.......wa ushirikina.
ni bora mtu aseme namuamini mungu tu nitamuelewa

experience niliyukutana nayo huwa
sometimes nafikiria kuandika kitabu hivi
 
  • Thanks
Reactions: EMT
could be usefull to me..
i am searching my own lucky charm lady lol
i can borrow yours lol
nimekuelewa boss

hayupo JF, yupo mjini hapa..... ni social person, light skin, cute and very intelligent, yule mwenye gundu ni four yesar younger, light and not very intelligent........... funny thing ni kwamba they have some similarities kwenye morphology but one has some positive energy always
 
Hahaahah haya bwana kalale sasa.......natumaini kesho utawezanijibu loh nisijesababisha mengine bure nkakuharibia usiku wako mydia.
Hala hala usijentaja usiku afu 'Wifi" akamind.

...ha ha ha, 'Wifi' ---Wireless Free Internet--- connection mbofu mbofu!

Nakubaliana nawe dia ila pia linapokuja swala la ndoa nadhani huwa kuna baraka flani hivi ambayo MUNGU huipitishia kwenye ndoa kwa ajili ya mafanikio ya kifamilia kwa yule anayechakarika......

...haya mambo ya Supernatural ni insurance tu. Ukiyaamini sana huchelewi kukufuru na kumlaumu Mungu kwa kila misfortune.

Toka niwahi kusoma posts zako 'za kulivua penzi' n.k. huko nyuma na sasa unasomeka kutokuwa na bahati katika 'sekta' ya mapenzi. Inaonekana uliumizwa vya kutosha. Pole shoga. Mungu atakupa tu 'kismati' na si 'li gundu'

...lahaula! Usinambie ushamtizamia nyota yake ukaona ana 'Gundu!' LOL...
Kumbe JF unaweza poteza possible suitors kwa kila 'footprints' unazoacha ee?
 
Back
Top Bottom