CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,863
- 686
WanaMMU-JF..........habari za weekend?
Kwa muda mrefu nimekuwa nikisikia kuwa katika mahusiano na mapenzi kuna aina mbili za wanawake
1. Wale wenye kismat....yaani bahati flani kiasi kwamba akiwa kwenye mahusiano na mkaka basi huyo kaka mambo yake yanakuwa tambarare........
2. Wale ambao huwa wanakuwa kama wana nyota mbaya (wenyewe huita gundu???) ambao wakiwa kwenye uhusiano basi wenzi wao huwa na wakati mgumu sana kwani hakuna kinachofanikiwa be it kikazi, biashara yaani kimaisha kwa ujumla!!...
(Sasa sijui in yale ya Hayati Sheikh Yahya!)
So naomba msaada wa kujua yafuatayo
1. Je kuna ukweli wowote katika hili? na
2. Kama ni kweli, je na upande wa wanaume nao wapo wenye kismati na wasio nacho?
ni hayo tu, aksanteni
Kuna mambo mengine yanapuuzwa na jamii fulani kwa vile sio ya kisayansi, lakin yana effect kubwa kwa binadamu. Ndio kama hili.
Kuna imani pia kama mzazi wako amefariki huku hujatimiza alichokwambia ufanye kabla hajafa, basi unakuwa umeua bahati zako zote ktk maisha. Kwa mimi na Mbu inaweza isifanye kazi (yaani tusiamini ndo sababu ya mikosi yetu) lakin kwa Nyani Ngabu na Dark City ikafanya kazi.
So mimi nadhani ni aina fulani ya imani ambayo mtu anaweza akawa amekua nayo tangu anakuwa, au amejiaminisha hivyo.
Kwahiyo, kupitia hiyo imani unakuwa "unajidhuru mwenyewe" (Nieleweni vizuri hapa)