Naomba mnijuze CV ya ADEN RAGE

Naomba mnijuze CV ya ADEN RAGE

Rage alishalilia mwanamke pale four ways ambaye alikua mwanafunzi uhazili baada ya kunyang'anywa na mshkaji wetu msela wa kitaaa hana lolote boloka tu
 
Hivi kwanini wezi, mafisadi, majangili, wauza madawa ya kulevya siku zote wanalindwa na CCM? Kuna siri gani?
 
Ccm ni majanga,elimu hakuna bali wapo pale kuiba tu. Na kushangilia upu.mbavu. Rage ni mji.nga sana,eti kila likisimama linasema ooh Chalinze,mara ooh kalenga,ujinga mtupu
 
Hivi inawezekana vipi a convicted criminal before the court of law badaye kuja kuwa mtunga SHERIA tena? Something is wrong somewhere?

Yale yale ya Andrew Chenge kuwa na account nje ya nchi, halafu leo mnapa uenyekiti wa kuandika katiba mpya, ambapo kuna pendekezo la maadili ya viongozi mojawapo likiwa kupiga marufuku viongozi kuwa account nje ya nchi?!

Kwa scenario hiyo hapo juu hilo kweli litawezekana. Kweli mtu anaweza kukata mkono unaomlisha?
 
Hivi inawezekana vipi a convicted criminal before the court of law badaye kuja kuwa mtunga SHERIA tena? Something is wrong somewhere?

Yale yale ya Andrew Chenge kuwa na account nje ya nchi, halafu leo mnapa uenyekiti wa kuandika katiba mpya, ambapo kuna pendekezo la maadili ya viongozi mojawapo likiwa kupiga marufuku viongozi kuwa account nje ya nchi?!

Kwa scenario hiyo hapo juu hilo kweli litawezekana. Kweli mtu anaweza kukata mkono unaomlisha?

mwizi kapewa uhakimu.anaweza kumuhukumu mwizi mwenzie
 
Back
Top Bottom