Naomba mnifundishe kubeti

Naomba mnifundishe kubeti

Screenshot_2026-01-29_200309.jpg
 
Jamani dhambi zote hizo uogope ya kubeti?
sweetycandy kasema ameokoka anaenda church na ananena kwa lugha, asije akaukosa utukufu wa bwana kwasababu ya beti ndio nimefanya kumjulisha kuwa nayo ni dhambi.

Lakini life imeshakaba tumfundishe tu ukamaria, mbona kwa muhindi ela ipo 😂
 
Betting ni moja ya leviathan mbaya sana unamkuta mtu ana rand 200 hiyo yote anampelekea muhindi kesho hivyo hivyo daah utani sana huo bora home hakuna majengo makubwa ya Betting kaburu kawawekea majengo makubwa aina zote za kamari zipo humo mpaka wamama wanaenda na ni kawaida tu mtoto anapewa karatasi waliyokula akalipie Ada maisha yanaendelea..
Kamari sio ya kuomba kujifunza angalia tu..
 
kubeti ni kamari nayo pia ni dhambi, lakini unataka kubeti kweli njoo tuweke 2+ tumpige muhindi
Kubadhiri bet siyo dhambi ...mudi boy ni mpuuzi ...ili kitu kiwe dhambi kuna hesabu zake.
 

Tuondoke Sweet C...Kama Unauhitaji Wa Odds..Mpaka Kieleweke Hakuna Kulaza Kipumbwi....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom