Sir R
JF-Expert Member
- Oct 23, 2009
- 2,175
- 298
Hali hii ya mgawo wa umeme sasa ni tata sana. Watu wanalalamikia hali hii. Tujuavyo sisi wa TZ ni watu tunaoongozwa na matukio. Tukio linakuja linaisha hakuna kinachoendelea katika eneo la maendeleo ya mtu mmoja mmoja hata taifa kwa ujumla.
Ningependa mgawo huu uendelee nione mwisho wake utakuwaje.
Ningependa mgawo huu uendelee nione mwisho wake utakuwaje.