mzalendo iq1
JF-Expert Member
- Mar 10, 2020
- 1,258
- 1,541
Leo nimekuja kuomba samahan kwa viongoz wa chadema na ACT wazalendo Hasa mbowe ZITO na tundulisu Mara nyingi nimekua nikitoa Uzi za kuwa kashfu
Na kufanya siasa chafu juu yao.ya kuto kutoa hoja Bali kufika mbala na kuwakejel
Wao kama wazaz ningeomba wanisamehe nimegundua kua niliwakosea heshima pls naombeni mnisamehe
Pia kuomba kwangu msamaha Sio kwamba nimekubal mapambano Yao hapana ni kwa sababu nimekubal wao ni wakubwa kwangu so napaswa kuwaheshim
Mimi bado ni mzalendo ambae nitaendelea kumpongeza magufuli kwa kazi yake kubwa anayo endelea kuifanya
Asanteni Wana jamiforums
Na kufanya siasa chafu juu yao.ya kuto kutoa hoja Bali kufika mbala na kuwakejel
Wao kama wazaz ningeomba wanisamehe nimegundua kua niliwakosea heshima pls naombeni mnisamehe
Pia kuomba kwangu msamaha Sio kwamba nimekubal mapambano Yao hapana ni kwa sababu nimekubal wao ni wakubwa kwangu so napaswa kuwaheshim
Mimi bado ni mzalendo ambae nitaendelea kumpongeza magufuli kwa kazi yake kubwa anayo endelea kuifanya
Asanteni Wana jamiforums