Jamani naombeni mnisaidie mbinu za kumsau ex
Yaani nilikuwa nimeshamsau kabisa ila cha ajabu leo nimeshangaa amerudi tena katika moyo wangu nimejikuta na mkumbuka na moyo wangu umekosa furaha kabisa.
Nilijaribu kuongeya naye kuhusu ninavyo jihisi kwa ajili yake ila kibaya zaidi mwenzangu hajali hisia zangu Wala hana mpango wa kurudi. Tena sijui ni fanyeje.
Nimejaribu kutongoza wanawake wengine tena wazuri zaidi yake lakini wapi.
Ilishanitokea nikiwa Chuo nilifeli masomo Ile ilitosha kumchukia, kumbuka mabaya yake itakusaidia kumuona MTU mby Sana asiyekufaa kabisa. Tatizo alikuwa mtamu balaanjia pekee ya kumsahau X wako jitahidi sana kukumbuka yale mabaya yoooote aliyokufanyia
achana na mazur we vuta hisia ya yale mabaya aliyokutendea
ukifanya hivyo hutotaka hata kumsikia
Bwia tu unga mkuu au jivutie bangi na kula mirungi kama wasomali....utasahau tu.Jamani naombeni mnisaidie mbinu za kumsau ex
Yaani nilikuwa nimeshamsau kabisa ila cha ajabu leo nimeshangaa amerudi tena katika moyo wangu nimejikuta na mkumbuka na moyo wangu umekosa furaha kabisa.
Nilijaribu kuongeya naye kuhusu ninavyo jihisi kwa ajili yake ila kibaya zaidi mwenzangu hajali hisia zangu Wala hana mpango wa kurudi. Tena sijui ni fanyeje.
Nimejaribu kutongoza wanawake wengine tena wazuri zaidi yake lakini wapi.