Naomba mbinu za kumsahau EX

Naomba mbinu za kumsahau EX

Kizoda

Senior Member
Joined
Mar 5, 2022
Posts
130
Reaction score
302
Jamani naombeni mnisaidie mbinu za kumsau ex

Yaani nilikuwa nimeshamsau kabisa ila cha ajabu leo nimeshangaa amerudi tena katika moyo wangu nimejikuta na mkumbuka na moyo wangu umekosa furaha kabisa.

Nilijaribu kuongeya naye kuhusu ninavyo jihisi kwa ajili yake ila kibaya zaidi mwenzangu hajali hisia zangu Wala hana mpango wa kurudi. Tena sijui ni fanyeje.

Nimejaribu kutongoza wanawake wengine tena wazuri zaidi yake lakini wapi.
 
We ndo kama mm ila mm nna ma ex wawili wote nawamiss
 
Tafuta mpenzii Acha kujitesa X ni Sawa na nyumba iliyo kwenye hifadhi ya barabara Acha kumpa kichwa aone kuwa umezama kwake
 
Ukitaka kuona machungu ya Moyo yanaumaje mrudie X wako ambaye hakupendi, atakunyoosha wewe hadi unyooke
 
Jipigepige kifua mara mbili sema maneno haya," Nampenda Ex wangu kuliko Mungu wangu" ukifanikiwa kumaliza haya maneno mpigie simu mrudiane.
Fanya hivi utanishukuru bdae
 
Hakuna binadamu mkamilifu katika dunia hii, kwa maana hyo hata uyo ex wako ana mapungufu kibao , ukitaka kumsahau uwe unamfikilia kuhusu mapungufu yake tu na sio mazuri yake, jiambie mwenyewe moyoni kuhusu mapungufu yake mfano unaweza kujisemesha moyoni sentensi zifuatazo:
_ Jitu lenyewe Lina kiburi ubabe mwingi.
-. Kwanza mtu mwenyewe Hana msambwanda Kama flat screen.
  • Kwanza mtu mwenyewe anamiguu myembamba Kama anatembelea mikono.
  • Mtu mwenyewe anapenda hela Kama mkono wa kondakta.
  • Kwanza mtu mwenyewe Bahili Kama boss wa kihindi.
Hata hivyo nilikua nalivumilia tu hebu liende zake Sina time nalo.


Note: Ukizingatia mbinu hii unamsahau fasta labda Kama walikulisha limbwata.
 
Pole sana, punguza ujinga, hayanaga muongozo...
 
Back
Top Bottom