Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Usimkatishe tamaa mwenzako, even with 20 m unaweza kufanya biashara ya kueleweka mradi uwe na malengo. Problem ni kama hiyo saving ya Enny ndo anategemea kwa kila kitu kwa sasa. Biashara ya chakula inalipa na unaweza kuanza kwa amount hiyo.
Mpe mchanganao, sio matumaini hewa.