uludodi
JF-Expert Member
- May 23, 2014
- 574
- 913
Nimenunua hii Tv. Nimeona ina king'amuzi ndani sasa naomba maujanja yakutumia hicho king'amuzi . Natumia king'amuzi cha Azam. Je nikiongeza -LND- kwenye dish la Azam nitapata chanel za free au nitumie njia ipi kupata chaneli za free kwenye iyo tv . Nitashukuru kwa mawazo yenu na elimu kutoka kwenu Asante.