ENZO
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,242
- 1,736
hebu acha upu***vu wako
kapime haraka, hayo mapenzi ya kijinga ya kutopima mtakufa kama nzige.
Upendo gani huo?
We umepima?
MP.
hebu acha upu***vu wako
kapime haraka, hayo mapenzi ya kijinga ya kutopima mtakufa kama nzige.
Upendo gani huo?
Kwahiyo nikikuta anao au mimi ninao ndo basi tena! I never wanted to see the end of this journey! Alafu mimi nikiwanao ndo cntaowa? Au ntatafuta mwenye nao kama kwakutangaza adharani?!