Yo majesty
JF-Expert Member
- Sep 13, 2023
- 705
- 1,218
Fundi maiko anakujengea kwa million 120 tu.nguzo anaweka mianzi
Tungekuwa tuna pesa tusingeuliza mkuu maisha ya watanzania haya tofautiani pakubwaAiseee watu pesa mingi me hata chumba na sebule naogopa kuulizia makadirio maana pesa
Ukute unaishi kwa mjomba ni mama hafu unaota jenga orofaTungekuwa tuna pesa tusingeuliza mkuu maisha ya watanzania haya tofautiani pakubwa
Kibongo bongo siko vibaya nikijipinda nashusha jengoUkute unaishi kwa mjomba ni mama hafu unaota jenga orofa