Naomba lyrics ya huu wimbo wote

Naomba lyrics ya huu wimbo wote

Wanafiki wafunge midomo, lyrics hizi hapo kaka yangu.

1. siku ya furaha, siku ya uzima aliyozaliwa Yesu.
:: Tulipotea Yesu akaja.
furahini, furahini
wakristo.

2. siku ya furaha, siku ya uzima
aliyozaliwa Yesu.
::Yesu ashuka, atuokoe.
Furahini, Furahini wakristo.

3. Siku ya furaha, siku ya uzima
aliyozaliwa Yesu.
::Malaika wote
wamsifu Mungu.
furahini, furahini Wakristo.

Lyimo kazi kwako, ushauri niliokupa juu tafadhali zingatia.

THREAD CLOSED.


ASANTE SANA neggirl, Mungu akubariki sana. Pia nitazingatia ushauri wako.
 
Back
Top Bottom