Naomba Link ya samsung s8+ ili nipakue firmware

Naomba Link ya samsung s8+ ili nipakue firmware

nusuhela

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2014
Posts
6,474
Reaction score
8,139
Habari zenu wakuu.

Naomba link ya kudownload latest firmware kwa ajili ya samsung s8+ sm-g955f.

Nitashukuru sana kwa msaada wenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sorry ni repairmymobile

Sent from my TECNO WX3 using Tapatalk
 
firmware huwa naliona sana hivi ni nn kwenye simu
 
Hivi katika hizi firmware, unaweza ukaweka firmware ya kutoka nchi yoyote?.

Mf. Nilikuwa natafuta firmware ya A10, nilizipata ila zilikuwa za location tofauti na Tanzania na kwenye option ya kuchagua nchi Tanzania haikuwepo.

Hapa huwa mnafanyaje?
kcamp , Kukaja Kununu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwa kweli ilo jambo nami linanitatiza, kuna kipindi nilikuwa nadownload firmware za simu yng lkn sikubahatika kupata za Tanzania nadhan Chief-Mkwawa anaweza tusaidia
Hivi katika hizi firmware, unaweza ukaweka firmware ya kutoka nchi yoyote?.

Mf. Nilikuwa natafuta firmware ya A10, nilizipata ila zilikuwa za location tofauti na Tanzania na kwenye option ya kuchagua nchi Tanzania haikuwepo.

Hapa huwa mnafanyaje?
kcamp , Kukaja Kununu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi katika hizi firmware, unaweza ukaweka firmware ya kutoka nchi yoyote?.

Mf. Nilikuwa natafuta firmware ya A10, nilizipata ila zilikuwa za location tofauti na Tanzania na kwenye option ya kuchagua nchi Tanzania haikuwepo.

Hapa huwa mnafanyaje?
kcamp , Kukaja Kununu

Sent using Jamii Forums mobile app
Yes mkuu unaweza kuweka ya region yoyote,,japo haishauriwi kwasababu kila simu ina firmware ya region husika

Ukiweka firmware tofaut na region yako kuna uwezekano wa haya kutokea

1.simu kuja app usizotaka,yani sio za region yako..
2.simu ku overheat nakutumia charge vbaya sana.. kwasababu kila region ina mifumo yake ya telecommunication,sasa hizi firmware huw ziko optimized kwenda sambamba na mifumo ya mawasiliano kupitia built in modem ya kweny simu yako..si unajua maswala ya bands mkuu? Na ndio maana tunashauriwa global version

Sasa kuweka firm ya region nyingine huenda ikafanya simu itumie moto mwingi sana kustrugle kweny cell standby,,yani unakuta power usage kule kweny simu yako mnara ndio unatafuna charge kuliko kingine unabaki unashangaa..hii huend ikawa sababu.

Hivyo simu pia itakua yamoto sana.

Chakufanya unatakiwa ujue software version vizur kabla ya kuflash...Kwa Tanzania mim huwa naflash KEN,AFR software version..hizi ni specific code za kenya..lakin pia SOL huwa ina represent Tanzania specific code.so inacase ikiwepo nitaishusha.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuhusu region ya firmware mara nyingi tupo kwenye zone ya Africa and Middle East, ila mimi binafsi natumia simu yenye firmware ya marekani na inafanya kazi bila shida yeyote
 
Back
Top Bottom