Kwa msimu huu yanga imecheza MICHEZO miwili Mikubwa.
Simba na........ 2-0
Usm Algers... 2-1
Sasa nimeanza KUAMINI kuwa Simba ni timu kubwa zaidi Tanzania.
ALHALY.
Raja.
Widad.
KAIZERCHEEF.
Orando pirates.
Berkane nk.
Hawa ni MABINGWA WAKUBWA.. Simba imecheza nao