naomba kuuliza

Hii habari unganisha kwenye uzi juu kwa kufanya editing ili habari yako hiwe na mtiririko mzuri amina ali
Nijuzeni wana JF mwenzen nilibakwa na mtu wa familia, pia nakaribia ndoa ila mwenza wangu sijamwambia ukwel najiskia vibaya ila sitak kuonekana muhuni maana haikua ridhaa yangu
 
Last edited by a moderator:
Daaa watu humu mnanipa raha balaaaa Kongosho na Preta ... Mawaidha yenu yako powa ..kazi ni kwa mleta uzi lol

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Na uliberali woote mie naihofia hii process ya kumuambia mwenza. Itakuwa very traumatising. Jamaa atabakia kupata picha na kutaka kuua tu! Natamani asimuambie. Anyamaze tu bila kubold ama kutangaza habari ya bikra. Kwani mkaka kasema yeye bikira?
 
Last edited by a moderator:
Pengine huyo jamaa hakumwambia huyu binti kuwa yeye ni bikra!
Tatizo linapokuja nikwamba inaonekana huyu amina ali alishamwambia mwenzie kuwa yeye nii bikra na baadae akabakwa na ndio maana anapata wasiwasi kama jamaa akigundua kama hana bikra!

Pengine kumueleaza ukweli ni suluhu.

Na uliberali woote mie naihofia hii process ya kumuambia mwenza. Itakuwa very traumatising. Jamaa atabakia kupata picha na kutaka kuua tu! Natamani asimuambie. Anyamaze tu bila kubold ama kutangaza habari ya bikra. Kwani mkaka kasema yeye bikira?
 
Last edited by a moderator:

Nikweli mwanzo nilimwambia kua mimi ni bikra na akaniwekea heshma had sasa hajaniomba sex ila tatizo katkat ya mahusiano yetu ndo nilipata huo mkasa.
 
Last edited by a moderator:
Hivi jamani bikra inaweza kurudi baada ya kukaa mda mrefu bila ya kusex???
Hili nalo swali. Inavyoonekana jamaa yako amekutosa baada ya kuibanjua-imetoka hiyo mdada-labda uweke ya kichina. Siku nyingine usigawe sukari yako kirahisi namna hiyo.
 
Nikweli mwanzo nilimwambia kua mimi ni bikra na akaniwekea heshma had sasa hajaniomba sex ila tatizo katkat ya mahusiano yetu ndo nilipata huo mkasa.

Swali la kizushi..ulienjoy kamchezo..? Kalinoga...?
 
Suluhu ni kumwambia ukweli mwenzio!

Nikweli mwanzo nilimwambia kua mimi ni bikra na akaniwekea heshma had sasa hajaniomba sex ila tatizo katkat ya mahusiano yetu ndo nilipata huo mkasa.
 
naskia siku hizi wanatumia pepsi. unaoshea pepsi baridi kutwa mara 3
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…