Naomba kuuliza

donlucchese

JF-Expert Member
Mar 23, 2011
17,047
21,519
nimekua nikiangalia movies wakuu zinazohusu mambo ya intelejensia na mapigano. kuna kitu hua kinanishangaza leo naomba kujuzwa. inakuaje pale mtu anapigwa risasi ikiwa amevaa bullet proof but anakua kama analuzi conscious ivi kidogo adi baada ya dakika kadhaa. je, ile impact na magnitude ya risas inapokua inaingia kwenye bullet proof anaifeel? nawasilisha wakuu .
 
Mkuu risasi inapotoka kwenye mtutu inatoka kwa speed kubwa sana na hii speed ndio husababisha madhara maana hufanya risasi kupenya kwenye target yake hata kama ngumu

Kinachotokea ni kwamba bullet proof inazuia risasi kupenya tu lakini lile pigo la speed ya risasi lazima likutingishe kisawasawa.
Swala la kuanguka inategemea kama hujakaa kwa balance basi ule mshtuko wa risasi kupiga bullet proof unaweza kukupeleka chini lakini most of time ni kwamba bullet proof hucover sehemu ndogo tu ya mwili hivyo unapopigwa risasi kwenye bullet proof unatakiwa kuanguka chini ili kumzuga mpigaji asiendelee kukupiga na sehemu ambazo hazijawa covered
 
Hayo nio manjonjo ya movie tu, ukipigwa risasi kwenye bullet proof bado inauma na inaweza kuvunja mbavu lakini haiwezi kuku knockout, na wala risasi haiwezi kukurusha kama wanavyoonyesha kwenye movie.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom