Naomba kuuliza

Naomba kuuliza

Suala linalohusu ccm hakunaga kufuata sheria... Sheria zinatumika kwa vyama vingne, tena vile vinavyokosoa serikal..
 
Suala linalohusu ccm hakunaga kufuata sheria... Sheria zinatumika kwa vyama vingne, tena vile vinavyokosoa serikal..
Umesema vyema,ccm na wale wa vyama vyake shikizi pekee.Mnaowakamata mikono katika kula kwao kwa urefu wa kamba hamna bahati.
 
Umesema vyema,ccm na wale wa vyama vyake shikizi pekee.Mnaowakamata mikono katika kula kwao kwa urefu wa kamba hamna bahati.
Naam, hutosikia chama cha ubwabwa kikizinguliwa hata siku moja.
Maana ni moja ya tawi lao shikizi..
 
Back
Top Bottom