Naomba kuuliza

Naomba kuuliza

MWALIMU DAIMA

Senior Member
Joined
Mar 4, 2023
Posts
129
Reaction score
263
Je Kuna kosa gan kutaka kumtafuta ex girlfriend wako, Kwa amani tu Kwa lengo la kumsalimia baada ya yy kukuacha kwa Muda mrefu????
 
Inategemea. Mimi aliniachaga nilipoenda studies. Baadae aliolewa. Nilijua kupitia fb. Nilivyorudi years later kanitafuta tukaongea. Baadae alikuja hadi ghetto. Bahati nzuri nilikuwa na malaria kali. Nilikuwa naomba tu aondoke nilale. Since then huwa tunawasiliana yeye akianza lakini. Nilibahatika kutovutiwa na mke wa mtu.
 
Hakuna penzi tamu la EX.. maana marekebisha makosa yote ya awali yaliyokuwa yanapunguza utamu, kama ulikuwa unakojoa ndani ya dk 2 anakuta ume improve hadi dk 4
 
Binafsi kama mwanamke kaniacha kwasababu anazozijua yeye nitaumia ila baada ya muda flani nitapona na nikishapona nakuwa sina tena upendo nae.

Nakumbuka niliwahi kuwa na msichana wangu wa kwanza ambae nilimpenda sana lakini alikuja kuniacha na kipindi hiko nilikua nasoma chuo ndo nimeingia mwaka wa pili.

Nilikuja kuonana nae baadae akiwa kadhoofika sana kiafya na akawa ananichangamkia kweli ila sikutaka kabisa kushiriki nae tendo la ngono, sio tu kwasababu niliona amedhoofika kiafya ila pia nilikua nishamtoa moyoni na sikua na mapenzi nae tena.

Mtoa mada sijajua umekaa muda gani mpaka kuanza kumtafuta tena huyo ex wako ila kama mwaka umepita na bado unamtafuta basi kuna haja ya wewe kujitathmini.
 
Kama kuna mtu nafurahia misfortune na misery zake basi ni Ex wangu. Halafu maskini hata hajui alivyo boya akipata majanga ananisimulia na kuniomba ushauri kumbe ndiyo ananipa furaha.

Vile yupo miserable mimi nafurahi sana. Alinichezea hisia zangu sana.
 
Back
Top Bottom