1. Mitihani ya kidato cha sita ( school and private candidates_) inaanza trh 3/5/2016. Kwa uhakika tembelea web ya necta washaiweka ratiba unaweza kudownload na kuipitia kwa makini pia ucheck na grade mpya uzijue.
2. Hilo la jkt hadi sasa linazungumzwa kimazoea tu ila tamko halijatoka coz serikali iliyopo ni mpya so inaweza kuwepo kama kawaida, kurekebishwa au kutokuwepo kwa kuwa hilo suala ni la kisera zaidi. Hivyo basi jiandae kwa lolote.
3. Hizo ni tetesi ingawa kupata div 3 kunamfanya mtu awe limited ktk selection za vyuo kutokana na cutt points zinaxohitajika. Hivyo ni bora ukaze tu ili upate hayo madaraja ya juu la sivyo utakua unahangaika kwani ukitaka elimu mbadala ya degree zipo nyingi tu ukishahitaji watu watakushauri ila sio sasa kwa sababu utajiandaa kufeli.
Kwa uelewa wangu naishia hapo na yeyote anaweza fanya editing ya nilichozungumza.