Naomba kuuliza maana ya alama hizi

Google si wakweli kwa taarifa sahihi. Barabara ya tabora mwanza kwa sasa ni PAVED


Nimejaribu ku google t8 imeelrzwa kuwa ni unpaved trunk road from Tabora to Kigoma na t18 Tabora to Mwanza, nafikiri sijazichanganya. Nafikiri wataalamu wa usafiri barabarani hasa wanaotumia ramani kutoka sehemu moja mpaka nyingine wanatumia hizo alama (au ndio zinavyooneshwa katika ramani zao). Kuna t3 imeoneshwa inaanzia Morogoro.

Nadhani cha muhimu ni namba ya barabara bila kujari ni ya rami ama si ya rami (paved or unpaved road).

Ni kweli T18 au T8 inawezekana kabisa zilikuwa unpaved wakati Google wanapiga picha ila kwa sasa hizo barabara zina rami, though T8 Tabora to Kigoma rami yake imewekwa kwa vipande vipande.
 
T= Trunk road/ barabara kubwa,
T18 = Trunk road 18, Trunk road 8, ni codes za barabara.

Na hio 300m ni Mita 300, sasa hicho kibao kinaonyesha Mita 300 mbele kuna round about - ambayo ina barabara kuu #18 na # 8 katika mwelekeo huo.
umeniwahi mkuu
 
  • Thanks
Reactions: bdo
Barabara ua kushoto kwenye mduara inaelekeza welekeo wa tabora mjini. Zingine zimeelezwa hapo juu maana na uelekeo wake.


Kuhusu 300m ni umbali kwenda uwanja wa ndege wa tabora kwa uelekeo wa nyuma ya picha

Mkuu hio 300m kwenye kibao, inamfahamisha mtumiaji wa barabara kuwa:

katika umbali wa mita 300 kuna round about, ambayo ina barabara ya kwenda airport na Tabora upande wa kushoto, Nzega upande wa Kulia na Urambo ni mwelekeo wa moja kwa moja.
 
Hizo ni route tu za barabara, kila nchi huwa ina hizo route



Hizo B6, T15, A2, etc ni route za barabara, kila nchi huwa ina hizo route zake, mfano kwa Tanzania T humaanisha barabara kubwa, mfano T1 ni hii Morogoro Road kuanzia Dar - Moro-Iringa-Mbeya, T2 Chalinze - Arusha, T3 Morogoro - Dodoma-Singida, etc na R1 hizo ni regional Roads,

Hio ni kwa ufahamu wangu, watalaam zaidi wanaweza kuongezea au kukosoa ama kurekebisha.


Most of the trunk roads in Tanzania are marked by numbers following the two-tier number system with prefixes A- and B-, as is practiced in the rest of East Africa

A7 492 Km Dar es Salaam - Iringa, Chalinze - Morogoro - Mikumi
A14 315 Km Chalinze - Horohoro via Segera - Tanga
A19 620 Km Masasi - Mbamba Bay via Tunduru - Songea - Mbinga
A23 117 Km Arusha - Holili Moshi
A104 1218Km Tunduma- Namanga via Mbeya - Iringa - Dodoma - Kondoa - Arusha
B1 263 Km Segera - Himo
B2 561 Km Dar es Salaam - Mtwara via Kilwa - Lindi
B3 625 Km Singida - Rusumo Falls via Nzega - Isaka - Kahama
B4 293 Km Makambako - Songea via Njombe
B5 120 Km Mingoyo - Masasi
B6 1071 Km Makogolosi - Sirari via Rungwa - Tabora - Shinyanga - Mwanza
B8 1128 Km Kasesha - Mutukula via Sumbawanga - Mpanda - Kasulu - Biharamulo - Bukoba
B129 388 Km Morogoro - Manyoni via Dodoma
B141 308 Km Rungwa - SIngida via Itigi - Manyoni
B143 151 Km Singida - Babati
B144 390 Km Makuyuni - Kukirango via Karatu - Ngorongoro - Serengeti National Park
B163 230 Km Usagara - Biharamulo via Sengerema - Geita
B182 171 Km Nyakasanza - Kyaka via Kimisi - Burigi Game Reserve - Omurushaka
B182W 111 Km Omurushaka - Murongo
 
Most of the trunk roads in Tanzania are marked by numbers following the two-tier number system with prefixes A- and B-, as is practiced in the rest of East Africa

A7 492 Km Dar es Salaam - Iringa, Chalinze - Morogoro - Mikumi
A14 315 Km Chalinze - Horohoro via Segera - Tanga
A19 620 Km Masasi - Mbamba Bay via Tunduru - Songea - Mbinga
A23 117 Km Arusha - Holili Moshi
A104 1218Km Tunduma- Namanga via Mbeya - Iringa - Dodoma - Kondoa - Arusha
B1 263 Km Segera - Himo
B2 561 Km Dar es Salaam - Mtwara via Kilwa - Lindi
B3 625 Km Singida - Rusumo Falls via Nzega - Isaka - Kahama
B4 293 Km Makambako - Songea via Njombe
B5 120 Km Mingoyo - Masasi
B6 1071 Km Makogolosi - Sirari via Rungwa - Tabora - Shinyanga - Mwanza
B8 1128 Km Kasesha - Mutukula via Sumbawanga - Mpanda - Kasulu - Biharamulo - Bukoba
B129 388 Km Morogoro - Manyoni via Dodoma
B141 308 Km Rungwa - SIngida via Itigi - Manyoni
B143 151 Km Singida - Babati
B144 390 Km Makuyuni - Kukirango via Karatu - Ngorongoro - Serengeti National Park
B163 230 Km Usagara - Biharamulo via Sengerema - Geita
B182 171 Km Nyakasanza - Kyaka via Kimisi - Burigi Game Reserve - Omurushaka
B182W 111 Km Omurushaka - Murongo

Asante kwa maelezo yako, but what about roads with a T letter stands for?, as indicated in Tabora T8 and T18.
 
Asante kwa maelezo yako, but what about roads with a T letter stands for?, as indicated in Tabora T8 and T18.
Hiyo alama sikuwahi kuiona kabla, so nitaifuatilia ikiwa ni kuwasiliana na washkaji wa sumatra ama tanrods kupata majibukama wameongeza alphabet ama ni kitu gani.
Mwanzo zilitambulika kwa A na B kama nilivyoonesha hapo.
 
  • Thanks
Reactions: bdo
Sawa prince, nimekusoma najua upo likizo tabora now ndo maana umepost hiyo photo asante mekuelewa
 
Hizo ni route tu za barabara, kila nchi huwa ina hizo route



Hizo B6, T15, A2, etc ni route za barabara, kila nchi huwa ina hizo route zake, mfano kwa Tanzania T humaanisha barabara kubwa, mfano T1 ni hii Morogoro Road kuanzia Dar - Moro-Iringa-Mbeya, T2 Chalinze - Arusha, T3 Morogoro - Dodoma-Singida, etc na R1 hizo ni regional Roads,

Hio ni kwa ufahamu wangu, watalaam zaidi wanaweza kuongezea au kukosoa ama kurekebisha.

Sahihi!
T ni trunk roads (hizi barabara zinaunga nchi na nchi ama makao makuu ya mikoa na mikoa)
R ni regionals roads (hizi zinaunga makao makuu ya mkoa na wilaya ama wilaya na wilaya).

Maelezo ya hilo bango yanajitosheleza.
 
Hivi kweli kuna mtu mwenye leseni na atashindwa kuelewa maana ya hicho kibao... Basi inabidi ukasome tena, jarabu angalau utafute masomo ya bure kwenye internet lakini itakuwa kwa English
 
.....mara nyingi nnapokuwa safarini. Vile vibao vya kuonyesha direction au kwenye google map..uwa naona alama hizi....
...View attachment 364294
Nnavoelewa baada ya m300 kuna round about kwenda na elekeo tofauti km ilivyo tajwa
Ila sijaelewa hio duara ya roundabout mbona haijafunga?
Hio T sijui ni nini
 
Hivi kweli kuna mtu mwenye leseni na atashindwa kuelewa maana ya hicho kibao... Basi inabidi ukasome tena, jarabu angalau utafute masomo ya bure kwenye internet lakini itakuwa kwa English
Mkuu
Usishangae sana, alama za barabara zipo nyingi sana na zinachanganya, kwa mfano, kwa Dar alama zilizopo kwenye barabara ya mwendo kasi ni shida kwa wengi wetu.
 
Nnavoelewa baada ya m300 kuna round about kwenda na elekeo tofauti km ilivyo tajwa
Ila sijaelewa hio duara ya roundabout mbona haijafunga?
Hio T sijui ni nini
Mkuu LadyRed,
Hio alama ni ya kutoa taarifa "information sign" kuwa:

Mbele yako, umbali wa mita 300 kuna "round about", na ina barabara za matoleo,
1. Toleo la Kushoto unaelekea - Tabora na uwanja wa ndege.

2. Mwelekeo wa moja kwa moja ni Urambo.

3. Mwelekeo wa kulia ni Nzega

Kutokufunga kwa round about - ndio inakuonyesha mzunguko wenyewe kuwa unaanzia kuzunguka kushoto kwenda kulia maana kwamba huwezi pita kulia kwenda kushoto, ndio maana mduara haujafunga.

Hivyo huo mchoro hautaarifu kuwa "mita 300 baada ya mzunguko" ila unataarifiwa kuwa kutoka hapo mita 300 mbele kuna mzunguko.
 
Mkuu LadyRed,
Hio alama ni ya kutoa taarifa "information sign" kuwa:

Mbele yako, umbali wa mita 300 kuna "round about", na ina barabara za matoleo,
1. Toleo la Kushoto unaelekea - Tabora na uwanja wa ndege.

2. Mwelekeo wa moja kwa moja ni Urambo.

3. Mwelekeo wa kulia ni Nzega

Kutokufunga kwa round about - ndio inakuonyesha mzunguko wenyewe kuwa unaanzia kuzunguka kushoto kwenda kulia maana kwamba huwezi pita kulia kwenda kushoto, ndio maana mduara haujafunga.

Hivyo huo mchoro hautaarifu kuwa "mita 300 baada ya mzunguko" ila unataarifiwa kuwa kutoka hapo mita 300 mbele kuna mzunguko.
Oh sawa,but ni kawaida round about zote tuna pita kushoto na Ikiwepo alama basi duara imefunga kbs,au kuna roundabout ya kupita kulia?
Nashukuru lakini kwa maelezo
 
  • Thanks
Reactions: bdo
Oh sawa,but ni kawaida round about zote tuna pita kushoto na Ikiwepo alama basi duara imefunga kbs,au kuna roundabout ya kupita kulia?
Nashukuru lakini kwa maelezo
Kwa wageni ambao wanadrive Right hand pengine ingeweza kuwachanganya kwenye round about either wapite kulia au kushoto? Ndio maana wamerahisishiwa hivyo.
 
Oh sawa,but ni kawaida round about zote tuna pita kushoto na Ikiwepo alama basi duara imefunga kbs,au kuna roundabout ya kupita kulia?
Nashukuru lakini kwa maelezo
Angalia post #59 hapo chini, amesaidia
 
Back
Top Bottom