NICOL ni wahuni to say the least. nina share sijawahi lipwa. walisema tupeleke documents for verification nilifanya hivyo sijawasikia tena. ukipiga simu hawapokei. ukiandika email hawajibu. Rafiki yangu mmoja walimpa gawio la sh 10,000/- really? ni afadhali CRDB walikuwa wanalipa vizuri japo nao mwaka jana wametuzingua kwa kulipa hisa moja sh 5. wonders will never end!