kayanda japheth
Member
- Jan 14, 2017
- 20
- 4
Wana jamiiforum
heri ya Mwaka mpya
Naomba kutolewa tongotongo kidogo,hivi nikitaka kumvika my dearing pete ya uchumba ni lazima nifanye kijisherehe kidogo nialike na watu wachache kuja kushuhudia au naweza tu kumuita mahali patulivu tukiwa wawili then nikapiga goti mbele yake nikamvalisha hiyo pete?
Asanteni
Naomba kutolewa tongotongo kidogo,hivi nikitaka kumvika my dearing pete ya uchumba ni lazima nifanye kijisherehe kidogo nialike na watu wachache kuja kushuhudia au naweza tu kumuita mahali patulivu tukiwa wawili then nikapiga goti mbele yake nikamvalisha hiyo pete?
Asanteni