MLEMVYA RASHID
Member
- Aug 1, 2013
- 89
- 11
Habari ndugu wana jamvi!
Naomba kupata Updates za soko la tikiti kwa maeneo ya Dar, Pwani na Morogoro, soko likoje kwa mwezi huu wa tisa?
Na pia, kwa wale wajuzi wa soko la zao hili, naomba kufahamu ni miezi ipi soko la tikiti linakuwa zuri?
Ahsante
Naomba kupata Updates za soko la tikiti kwa maeneo ya Dar, Pwani na Morogoro, soko likoje kwa mwezi huu wa tisa?
Na pia, kwa wale wajuzi wa soko la zao hili, naomba kufahamu ni miezi ipi soko la tikiti linakuwa zuri?
Ahsante


