Bani Israel
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 1,439
- 2,367
wakuu bila kupoteza muda naomba kumjua huyu jamaa alieweza kuuchapa mbele ya muheshimiwa rais, kirahisi rahisi hivyo nimependa ukakamavu wake...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wakuu bila kupoteza muda naomba kumjua huyu jamaa alieweza kuuchapa mbele ya muheshimiwa rais, kirahisi rahisi hivyo nimependa ukakamavu wake...View attachment 964140
hahahahaWakuitwa Jaffo waziri wa TAMISEMI majuzi tu kamsifia kuwa ni waziri Mchapakazi wa kupigiwa mfano,, kwaiyo nahisi ni kupitiwa tu maana usingizi hauna "baunsa" na wala siyo kujisahau au kulewa misifa..
Nakuunga mguuMh mbn kma ana note down points za kikao....yawezekana aliyemfotoa alimpiga alipokuwa kakaa hyo style
Ova
Hivi kweli unaweza ukasinzia ukiwa uko karibu na jiko la mkaa?wakuu bila kupoteza muda naomba kumjua huyu jamaa alieweza kuuchapa mbele ya muheshimiwa rais, kirahisi rahisi hivyo nimependa ukakamavu wake...View attachment 964140
Wakuitwa Jaffo waziri wa TAMISEMI majuzi tu kamsifia kuwa ni waziri Mchapakazi wa kupigiwa mfano,, kwaiyo nahisi ni kupitiwa tu maana usingizi hauna "baunsa" na wala siyo kujisahau au kulewa misifa..
Huyu atakuwa jafarayzwakuu bila kupoteza muda naomba kumjua huyu jamaa alieweza kuuchapa mbele ya muheshimiwa rais, kirahisi rahisi hivyo nimependa ukakamavu wake...View attachment 964140
Hivi kweli unaweza ukasinzia ukiwa uko karibu na jiko la mkaa?
You made my day.... Ataunguzwa balaaaaaa