Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 12,959
- 26,023
Wadau huyu jamaa amesikika kwenye beat nying sana mpaka sasa, achilia mbali kusikika tu ila ameweza kuleta ladha ya kipekee katika bongo fleva.... Wasanii kama Aslay, Rayvan, Y tonny, Timbulo na wengine wengi wameweza kutambaa naye vizuri. Imefika muda mpaka producers wengine wameanza kumuiga. Je Zest ni nani? Studio zake ziko wapi?