Chuck j
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 2,358
- 815
Naomba kujuzwa kuhusu vifaa vya kuanlock simu na kuflash,,,je vinapatikanaje,,,ni kwa set au?????? bei yake ikoje<?????magroup yake yakoje??????? mtu unaweza kua navyo na kufanyia kazi kama hujasomea ufundi wa simu?????wanaotumia wamesomea wapi????????nitashukuru nikipata maelezo