NAOMBA KUJUZWA WAKUU.

Naona mambo yame cotton fire...acha kusubiri dalili nenda ukapime,

Kama ni me hicho kipenseli ujue wapi kwenda kukichorea, vinginevyo kitavunjika siku si mingi.
 
Ulijua kabisa huyo uliyejamiiana nae ni mgonjwa halafu unajipeleka!
Si ungepiga nyeto tu...!
 
Unaongelea ugonjwa gani? Kuna HIV, Kaswende, Kisonono, Gono n.k yote hayo yana dalili zake zenye muda tofauti kabla ya kujitokeza. Inategemea wewe una dalili zipi.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom