Naomba kujuzwa shule nzuri za Sekondari Dar

Naomba kujuzwa shule nzuri za Sekondari Dar

Nchi Kavu

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2010
Posts
4,289
Reaction score
2,472
Wakuu Nahitaji Kujua Shule Nzuri Na Affordable Kwa Kijana Mvulana Anayeanza Kidato Cha Kwanza. Mawazo Yenu Tafadhali. Iwe Ya Private Na Yenye Mchepuo Mzuri Wa Kingereza
 
Humu hakuna wadau wa elimu? Tupeane hizi taarifa muhimu
 
St. Joseph Millenium
Canossa High school
Loyola High School
St. Anthony's High school
St. Thomas More
 
Hata ikiwa closed ukimpeleka hawatomkataa watamfanyia interview na kumchukua Deadline isikutishe watu wanachukuliwa mpaka January
Nimekusoma. Ukiacha loyola, naomba geographical position ya hizo nyingine
 
St. Anthony's High school-Hii iko Mbagala (Sabasaba kwa mpili)
Canossa High School-Hii iko Tegeta mwisho kabisa (Tegeta Nyuki)
Pia kuna shule nyingine kama Tusiime nayo ni yaukweli.
 
Na hizo shule ni nzuri kwel watoto hufundishwa vizuri hadi kuelewa na kufaulu vizuri, nazote hizo ni za Kikristo tena za Kanisa Katoriki, sasa wale watanzania wenzetu wanaosumbuliwa na udini nafikiri hii si habari njema kwao.
 
Kama kijana wako ni wakike nenda BRIGHT FUTURE GIRLS' SECONDARY SCHOOL kama ni wakiume nenda CHRISTON BOYS' SECONDARY SCHOOL
 
Mngetaja na ada zao mngemsaidia zaidi, maana kasema za ada nafuu lakini nzuri.
 
Mngetaja na ada zao mngemsaidia zaidi, maana kasema za ada nafuu lakini nzuri.
BFGSS ni 3mil na hiyo ya wavulana ni 2.5mil zote ndo zinaanza Hazina matokeo ya form four. Ila kujua kwamba jamaa wanapiga Kazi jaribu tu kuwatembelea. BFGSS wapo smart sana kwenye education, take your daughter there.
 
St. Anthony's High school-Hii iko Mbagala (Sabasaba kwa mpili)
Canossa High School-Hii iko Tegeta mwisho kabisa (Tegeta Nyuki)
Pia kuna shule nyingine kama Tusiime nayo ni yaukweli.
Tusiime Ada haijachangamka kweli? Maana mdau kasema iwe affordable
 
Back
Top Bottom