Kamata daladala hadi Morocco.Habarini ndugu.
Niko goba naomba kupata msaada wa route yenye unafuu kufika kigamboni ferry.
Natanguliza shukrani
awe samaki changuchukua bajaji buku hadi mbezi chukua mwendokasi ya moja kwa moja kivukoni
ndani ya saa moja na nusu utakuwa kivukoni ukishuka tumia robo saa kupata supu ya samaki
usipokuwa makin pale wanakuambia changu ila wanakuwekea sangara.sasa huwez kujua unakula tuchukua bajaji buku hadi mbezi chukua mwendokasi ya moja kwa moja kivukoni
ndani ya saa moja na nusu utakuwa kivukoni ukishuka tumia robo saa kupata supu ya samaki
Shuka mbez, chukwa mwendokas, au waweza enda mpk kima-R mwisho mwendokas chap less than 40min ferry vuka kigambon.Habarini ndugu.
Niko goba naomba kupata msaada wa route yenye unafuu kufika kigamboni ferry.
Natanguliza shukrani
Panda daladala zinazotoka makumbusho kwenda mbezi mwisho, ukifika mbezi mwisho kamata mwendo kasi mpaka kimara mwisho then panda mwendokasi nyingine mpaka ferry.Habarini ndugu.
Niko goba naomba kupata msaada wa route yenye unafuu kufika kigamboni ferry.
Natanguliza shukrani