saidi bunduki
Member
- Mar 10, 2018
- 24
- 23
Oooohhhh saw saw nimekuelewa mkuuKama unataka kuanzisha chaneli ya mambo muhimu utachelewa sana kupata subscribers lakini kama ni mambo ya udaku mbona fasta tu, Watanzania wanapenda sana udaku...
Unamaanisha nin Mkuu unaposema kutumia bunduki🤔Tumia bunduki mkuu utapata TU
Mwenzio Don Nalimison had Sasa anao subscribers 24 tu muulize kafanye fanye maana naye anayo bunduki
Bishop kamaliza.Kama unataka kuanzisha chaneli ya mambo muhimu utachelewa sana kupata subscribers lakini kama ni mambo ya udaku mbona fasta tu, Watanzania wanapenda sana udaku...
Tatizo linaanza kwenye jina ya online tv yake unajua chagua jina zuri la biashara yako usichague jina la kutisha angalia avatar ya mleta post utagundua nilimaanisha nnUnamaanisha nin Mkuu unaposema kutumia bunduki
Umeeleweka mkuuTatizo linaanza kwenye jina ya online tv yake unajua chagua jina zuri la biashara yako usichague jina la kutisha angalia avatar ya mleta post utagundua nilimaanisha nn
Okay nimekupata🙏🙏Tatizo linaanza kwenye jina ya online tv yake unajua chagua jina zuri la biashara yako usichague jina la kutisha angalia avatar ya mleta post utagundua nilimaanisha nn
Bando zimepanda hivi bei kuna watu wanaingia YouTube? Duh watu mna hela aisee.
Mpaka hapa usipo badilika uta feli!!Nadhani karibu Kila mtu ana/ anatamani kuwa na channel ya YouTube kwa ajili ya kuweka maudhui mbalimbali.
Na katika safari hiyo bila shaka kila mtu anatamani kuwa maarufu na kufuatiliwa na watu wengi.
Nami ni mmoja ya wahanga hao ambao wanahangaika kutafuta VIEWS na SUBSCRIBERS huko youtube.
Hapa nimekuja kuomba /kupata ushauri na msaada juu ya mambo yafuatayo.
1. Ni mbinu GANI nzuri ya kupata watembeleaji katika channel ya youtube?
2. Ni maudhui GANI hupendwa zaidi na watanzania.
3. Ni changamoto GANI nijiandae nazo katika tasnia hii?
Nadhani bila shaka humu kuna wazoefu na wabobezi wa taaluma hii.
NB
Kama nitakuwa nimekiuka maadili na miiko ya mtandao huu naomba radhi Sana.
KWA ambaye ana swali lolote juu ya hili anaweza kuuliza hapa au kuja moja KWA moja PM
NATANGULIZA SHUKRAN