Baba ni baba
Senior Member
- Dec 19, 2014
- 112
- 49
Ngazi ya mshahara Diploma ya Marine Engineering?
Msaada kwa mwenye ufahamu natanguliza shukrani.
Msaada kwa mwenye ufahamu natanguliza shukrani.
sawaMaliza kwanza kusoma
TPAUnaenda taasisi gani kwanza
Inaweza fika kama 1.3mil mpaka 1.5
Shukrani kaka.Inaweza fika kama 1.3mil mpaka 1.5
Asante mkuuNgoja waje kukupa muongozo...
Yaan Diploma ulipwe 1 M hapa Tz ? Embu usidanganye watu shekh ...Inaweza fika kama 1.3mil mpaka 1.5
Yaani wewe ndo mjinga kabisa, huyo unayemuita wewe muongo imeonekana wewe ndo muongo. Taasisi nyingi tu za kiserikali na mashirika ya kiserikali dip wanapiga zaidi ya 1m. Next time usiwe mwepesi wa kumwambia mtu muongo wakati wewe hujui kitu.Yaan Diploma ulipwe 1 M hapa Tz ? Embu usidanganye watu shekh ...
Na ndo iwe kigezo cha kutolewa knock outWaulize wanaoku interview
TPA sio halmashauri ndugu.Yaan Diploma ulipwe 1 M hapa Tz ? Embu usidanganye watu shekh ...
Tena pengine itakuwa imezidi pia zaid ya hapo maana kuna maboresho ya mishahara siku hizi.TPA sio halmashauri ndugu.
Hiyo scale ya salary aliyoitaja mdau almost kwa diploma ndio 'huwaga' zinakua hivyo.
Unakataa mkuu haya hizo taasisi huwezi amini ndo ukweli kaulize salary scale ya TPA kwanza usibishe mkuu🤣🤣🤣Yaan Diploma ulipwe 1 M hapa Tz ? Embu usidanganye watu shekh ...
🤣🤣🤣Kashajua kazoea halmashauri tuTena pengine itakuwa imezidi pia zaid ya hapo maana kuna maboresho ya mishahara siku hizi.
Kwanza ni vyema ukatengua neno lako ulilotaja "mjinga" .. neno uongo ni kinyumecha ukweli... ... Izo scale za TPA azilete tuoneYaani wewe ndo mjinga kabisa, huyo unayemuita wewe muongo imeonekana wewe ndo muongo. Taasisi nyingi tu za kiserikali na mashirika ya kiserikali dip wanapiga zaidi ya 1m. Next time usiwe mwepesi wa kumwambia mtu muongo wakati wewe hujui kitu.
Ndugu usimlaumu...hayo ni matatzo ya kuajiriwa na tamisemi ndio yanamsumbuaYaani wewe ndo mjinga kabisa, huyo unayemuita wewe muongo imeonekana wewe ndo muongo. Taasisi nyingi tu za kiserikali na mashirika ya kiserikali dip wanapiga zaidi ya 1m. Next time usiwe mwepesi wa kumwambia mtu muongo wakati wewe hujui kitu.
Mkuu usiwe mbishi scale za taasisi za kiserikali huwazinalipa tofauti na serikali kuu na tamisemi...Taasisi zinakuwa na mishahara mikubwa zaid kwa sabb wenyewe wanamfumo ambao unawangizia hela zaid kutokana na activities wanazoziendesha. Tena kuna taasisi diploma anakula hadi 2MKwanza ni vyema ukatengua neno lako ulilotaja "mjinga" .. neno uongo ni kinyumecha ukweli... ... Izo scale za TPA azilete tuone