Janga gani?.Habari naomba kujuzwa Ni majani gani yanatumika kujifukiza kwa ajili ya hili janga.
Habari naomba kujuzwa ni majani gani yanatumika kujifukiza kwa ajili ya hili janga.
Una maruhani?Habari naomba kujuzwa Ni majani gani yanatumika kujifukiza kwa ajili ya hili janga.
Mkuu wahenga walishasema mficha maradhi kifo humuumbua....haya anza na majani ya mwarobaini,kisha utafute ya mpera.Habari naomba kujuzwa Ni majani gani yanatumika kujifukiza kwa ajili ya hili janga.
Wazee wetu zamani walikuwa wakitumia hizo njiaWewe endelea kufanya mzaha na maisha yako!Kumbuka binadamu huwa haishi mara mbili kwa hiyo nakushauri acha kufanya mzaha na maisha yako.Hizo dawa za kujifukizia zimejaribiwa wapi na lini zikaonyesha mafanikio?
Wazee wetu zamani waliugua Corona?Halafu hujajibu swali langu la msingi:Nimekuuliza hii njia ya kujifukizia imejaribiwa wapi na lini ikaonyesha mafanikio?Wazee wetu zamani walikuwa wakitumia hizo njia