Naomba kujuzwa kuhusu huduma za Uzazi Hospital ya Mwananyamala!

ZamdaIssa

JF-Expert Member
Nov 10, 2015
879
1,456
Salaam wakuu!

Naomba kujuzwa kuhusu huduma za kujifungua kwa mama mjamzito katika hospital ya Mwananyamala!rafiki yangu ameandikiwa akajifungulie mwananyamala mwezi ujao ila sasa anawasiwasi sana na huduma za hapo kuhusu uzazi maana baadhi ya waliojifungulia hapo wanadai Tatizo kubwa la Mwananyamala ni kwamba Madoctor na Manesi wako bize sana kiasi kwamba umakini umepungua!

Mwenye uzoefu na anayejua mengi kuhusu hospital hii anijuze!pia sio vibaya mukanijuza pia ni hospt ipi nzuri hasa kwa kujifungua hapa Dar!mimi nimeshindwa kumshauri maana nilijifungulia zangu mkoaa!!

Kipato chake ni cha kawaida hivyo hizo hosptal za milion hana
 
Gharama za kairuki ni kiasi Agni mkuu?!
Sijajua kwa wasio na BIMA maana mimi ilitumika BIMA ku cover kila kitu...

Kairuki wako vizuri,sidhani kama ilikua n bahati yangu ila naamini wako vzr siku zote...

kwasababu kitu kibaya/kibovu utakiona tu hata wakati wa clinic ya mama mjamzito tu utajua...
 
Sijajua kwa wasio na BIMA maana mimi ilitumika BIMA ku cover kila kitu...

Kairuki wako vizuri,sidhani kama ilikua n bahati yangu ila naamini wako vzr siku zote...

kwasababu kitu kibaya/kibovu utakiona tu hata wakati wa clinic ya mama mjamzito tu utajua...

Ahsante mkuu ila ningepata kujua gharama ingekua vizuri zaidi!yeye hana bima ni mama tu wa nyumbanimaana hali ya kiuchumi ya rafiki yangu sio njema saaana!ni vile tu namuhurumia kwamaana amehangaika sana na uzazi na ndio kwanza amebahatika kupata ujauzito uliudumu mpaka muda huu!kwahiyo anahofu sana
 
Mgonjwa yupo Dar wewe mpeleke Muhimbili acha kujitakia matatizo huko mwananyamala mzee..

Mimi ni Mama mkuu!sasa muhimbili wanasema mpaka awe na rufaa ya kwenda huko!yaani haiwezekani akaenda tu moja kwa moja ndivyo wanadai
 
Ahsante mkuu ila ningepata kujua gharama ingekua vizuri zaidi!yeye hana bima ni mama tu wa nyumbanimaana hali ya kiuchumi ya rafiki yangu sio njema saaana!ni vile tu namuhurumia kwamaana amehangaika sana na uzazi na ndio kwanza amebahatika kupata ujauzito uliudumu mpaka muda huu!kwahiyo anahofu sana
Daaaaaaa...n shidaaaa
 
Mimi ni Mama mkuu!sasa muhimbili wanasema mpaka awe na rufaa ya kwenda huko!yaani haiwezekani akaenda tu moja kwa moja ndivyo wanadai
Achana nae wanazingua wale.. Nenda pale siku kadhaa kabla ya mama kujifungua aende nae amtafute Dr anehusika na clinic ya mama wajawazito faster tu unampanga
 
Achana nae wanazingua wale.. Nenda pale siku kadhaa kabla ya mama kujifungua aende nae amtafute Dr anehusika na clinic ya mama wajawazito faster tu unampanga

Ubarikiwe sana mkuu!!ahsante sanatutajaribu njia hii
 
Ahsante mkuu ila ningepata kujua gharama ingekua vizuri zaidi!yeye hana bima ni mama tu wa nyumbanimaana hali ya kiuchumi ya rafiki yangu sio njema saaana!ni vile tu namuhurumia kwamaana amehangaika sana na uzazi na ndio kwanza amebahatika kupata ujauzito uliudumu mpaka muda huu!kwahiyo anahofu sana
Muhimbili ndio option pekee iliyobaki kulingana na hali yake ya uchumi
 
Mimi ni Mama mkuu!sasa muhimbili wanasema mpaka awe na rufaa ya kwenda huko!yaani haiwezekani akaenda tu moja kwa moja ndivyo wanadai
Mkuu ukifata utaratibu kila mahali utachelewa na utaishia kulalamika

kila siku,kwanini msitoe hela kidogo mkatafuta nafasi Muhimbili maana

hizi hospital nyingine pia kama hamtokua na nurse maalum wa kum monitor

huyo rafiki ako atateseka na mwisho mtaishia kulalamika zaidi huduma n mbaya.

Tupo ktk dunia ambayo kama huna hela basi kubaliana na lolote mbele yako,hamna namna.
 
Back
Top Bottom