Kabaizer
JF-Expert Member
- Oct 4, 2011
- 504
- 64
Wakuu naomba kuuliza hivi zile ajira 10000 zilizotangazwa na serikali wiki iliyopita katika kada mbalimbali ikiwemo ualim wa shule za msingi na secondary,mahakama,wauguzi n.k, tunasubiri watoe post au ndio tunaenda wilayani na kuomba? taarifa zinasema wataanza kuripot mwez wa 8 sasa naomba kujuzwa hali halisi,
natanguliza shukran za dhati
natanguliza shukran za dhati