Elongo Junior
Member
- Apr 21, 2018
- 55
- 29
Samahani JF Doctor,
Najiskia maumivi ya uti wa mgongo, kichwa kuuma pia mwili kuwasha sana lakini bila kutokwa na vipele. Je hii inaweza kuwa ni Amiba..? Maana nimepima nimeambiwa nina Amiba.. na je, madhara yake yakoje na tiba ikoje.
Naomba msaada.
Najiskia maumivi ya uti wa mgongo, kichwa kuuma pia mwili kuwasha sana lakini bila kutokwa na vipele. Je hii inaweza kuwa ni Amiba..? Maana nimepima nimeambiwa nina Amiba.. na je, madhara yake yakoje na tiba ikoje.
Naomba msaada.