Naomba kujuzwa hili

Naomba kujuzwa hili

mkundajr

Member
Joined
Jul 16, 2015
Posts
27
Reaction score
3
Habari wana JF

Nahitaji kujuzwa hili suala kwa wanaojua. Nina mdogo wangu amesomea Journalism(certificate). Anataka kubadili course asomee Biashara. Je itabidi aanze tena na certificate au anaweza akaendelea na Diploma?
 
Anataka kusoma biashahara o level amesoma masomo gani? ,km alisoma arts ni vigumu sn..ninavyojua mm watu wenye uwezo wa kusoma program yryote ni wale waliosoma sayansi o level
 
Habari wana JF

Nahitaji kujuzwa hili suala kwa wanaojua. Nina mdogo wangu amesomea Journalism(certificate). Anataka kubadili course asomee Biashara. Je itabidi aanze tena na certificate au anaweza akaendelea na Diploma?

Ataanza na Certificate.
 
Anataka kusoma biashahara o level amesoma masomo gani? ,km alisoma arts ni vigumu sn..ninavyojua mm watu wenye uwezo wa kusoma program yryote ni wale waliosoma sayansi o level

Hata ukiwa umesoma science utaanza na certificate
 
Back
Top Bottom