Naomba kujua gharama kwa mtu aliye na corona, baba yangu amelazwa KCMC yaani kila siku gharama hazieleweki kwa siku ya kwanza tu tuliambiwa ni kama1.9 million bado gharama kwa siku nyingine na bima inasaidia kwa kiasi kidogo sana.
Naomba kujua pia na gharama za mitungi ya oxygen.
Asante
Naomba kujua pia na gharama za mitungi ya oxygen.
Asante