Mumlii Senior Member Mar 14, 2021 169 230 Jul 7, 2021 #1 Habari wana JF Huwa nakunywa, juisi mara nyingi wameweka tangawizi sa naomba nijue faida zake kwenye juisi . Inaleta flavor ama?
Habari wana JF Huwa nakunywa, juisi mara nyingi wameweka tangawizi sa naomba nijue faida zake kwenye juisi . Inaleta flavor ama?
S Step one Member Sep 25, 2020 83 123 Jul 7, 2021 #2 Kama umekunywa juice yenye tangawizi na hukugundua lolote basi kunywa yenye avocado pekee
ndege JOHN JF-Expert Member Aug 5, 2015 19,561 44,754 Jul 7, 2021 #4 Nenda Google ka search utaletewa faida zake katika mwili
COMOTANG JF-Expert Member Jan 6, 2021 2,131 1,808 Jul 16, 2021 #5 Mumlii said: Habari wana JF Huwa nakunywa, juisi mara nyingi wameweka tangawizi sa naomba nijue faida zake kwenye juisi . Inaleta flavor ama? Click to expand... Ina saidia Yale Mambo ya upungufu wa naniliu za akina baba
Mumlii said: Habari wana JF Huwa nakunywa, juisi mara nyingi wameweka tangawizi sa naomba nijue faida zake kwenye juisi . Inaleta flavor ama? Click to expand... Ina saidia Yale Mambo ya upungufu wa naniliu za akina baba