cleokippo
JF-Expert Member
- Dec 21, 2014
- 2,072
- 1,697
Habari za mida hii ndugu jamaa na marafiki, kama kichwa ha habari hapo juu kinavyojieleza, naomba kufahamishwa dawa ya sikio kwa yeyote anayefahamu.
Nimekuwa nikisumbuliwa na maumivu ya sikio kwa muda mrefu kidogo. kwahiyo yeyote anayefahamu tiba ya ugonjwa huu naomba anijuze.
Asanteni
Nawasilisha
Nimekuwa nikisumbuliwa na maumivu ya sikio kwa muda mrefu kidogo. kwahiyo yeyote anayefahamu tiba ya ugonjwa huu naomba anijuze.
Asanteni
Nawasilisha