Naomba kujua kama Kuna dawa ya kuondoa tatizo la mtoto wa jicho bila upasuaji.
Hello Dawa ya mtoto wajicho pasipo na upasuaji ipo nitafute kwa wakati wako ili nipate kukutibia upate kupona maradhi yako.Naomba kujua kama Kuna dawa ya kuondoa tatizo la mtoto wa jicho bila upasuaji.
Hello Dawa ya mtoto wajicho pasipo na upasuaji ipo nitafute kwa wakati wako ili nipate kukutibia upate kupona maradhi yako.
My beloved grandma aliponea komwe.Naomba kujua kama Kuna dawa ya kuondoa tatizo la mtoto wa jicho bila upasuaji.
Dawa ya nyama ya puani ipo pia.Dawa ya nyama za pua unayo?
Hata mimi nina mtoto wa jicho niliende Kcmc wakaniambia wanifanyie operation ila sikuwa na hela ikabidi nirudi home .bei yake ni laki 5 .naombeni hiyo ya kienyeji wakuu wanguMy beloved grandma aliponea komwe.
Tofauti na hiyo ni ALMOND MILK,Asali na carot
Nunua almond ziloweke TOA maganda, Blend upate maziwa Yake.
2. Carrot
Blend tia na kijiko 1 Cha asalli
Nakupataje, namba yangu ni 0718 607 403, nina tatizo la mtoto wa jicho hilo, naomba nijibunkwa namba hiyo maana siingii jamii forums mara kwa maraHello Dawa ya mtoto wajicho pasipo na upasuaji ipo nitafute kwa wakati wako ili nipate kukutibia upate kupona maradhi yako.