Ipakuwe ( dawnload )ktk simu yako utakuta ina movie kibao na zenye quality nzuri.Ukishaipata
Ipakuwe ( dawnload )ktk simu yako utakuta ina movie kibao na zenye quality nzuri.
ASANTE SANA
Huwa sipendi mtu anaebisha bila fact.hyo show box huwez kudownload movie mkuu, nahisi kwa kuipakua hii hilo hitaji lake litakuwa halijapata ufumbuzi bado
mkuu nisaidia kujua na kuiretain hii link ili nikitaka muda wowote napakua
Mkuu tafadhali naomba kuuliza. Nilidownload kodi na configurator yake kwa ajili ya TV, napata TV za kumwaga.
unatakiwa ku add kama bookmark, inategemea na browser unayotumiamkuu nisaidia kujua na kuiretain hii link ili nikitaka muda wowote napakua
tumia vifurushi vya usiku panga downloads zako then wewe lala ukiamka asubuhi itakuwa imemalizaMkuu tafadhali naomba kuuliza. Nilidownload kodi na configurator yake kwa ajili ya TV, napata TV za kumwaga.
Swali:
Siwezi kupata kodi au wifi-code za setellite ambazo nitapata internet free kwenye simu yangu. Maana nimekuwa nikitafta kupata atleast free wifi-internet ya karibu na ninapoishi sipati. Asante mkuu
Kama kawaida Chief...tumia vifurushi vya usiku panga downloads zako then wewe lala ukiamka asubuhi itakuwa imemaliza