Unaweza kumshitaki ila jua utatumia muda na pesa nyingi kutopata unachokitafuta, next time kuwa smart unapofanya manunuzi ya mbali na ulipo, achana na habari za kukubaliana, wabongo uaminifu katika biashara bado ni zero, uongo na utapeli ni mwingi.
Kama upo mbali tafuta mtu unaemwamini kama rafiki au ndugu, akusaidie kukamilisha na kukagua unachotaka kununua ndipo utume pesa, nayeye hakikisha unampa ya kumlinda na kumpotezea muda kufatilia mambo yako.