incredible terminator
JF-Expert Member
- Aug 1, 2016
- 2,224
- 3,491
Maada husika inajieleza...
Ndugu wakubwa na Wadogo habari zenu
Kwanza niombe tu samahani kwa ambao chapisho langu litawakwaza kwa namna moja au nyingine wasitoe lugha za kashfa katika chapisho hili!
Kuna mtu amenitapeli tuliewana nae anitumie Mzigo kwa makubaliano mengine ila ametuma Mzigo pungufu tofauti na makubaliano na katika kuulizia amedai nimpeleke popote ninapopajua.
Kwa kweli, ukweli wangu ni kwamba sina uhakika wa kufika dar es salaamu kwa ajili ya kumshtaki ila ushahidi wa sauti na Messege zake zote tangu mwanzo wa makubaliano hadi saizi ninazo.
Swali langu ni kwamba Je? Ninaweza kumshitaki vipi hata nikiwa nje ya Jiji la Dar es salaamu ili nipate haki yangu? Na kama utaratibu huo utakuwepo taratibu zake zipoje?
Ndugu wakubwa na Wadogo habari zenu
Kwanza niombe tu samahani kwa ambao chapisho langu litawakwaza kwa namna moja au nyingine wasitoe lugha za kashfa katika chapisho hili!
Kuna mtu amenitapeli tuliewana nae anitumie Mzigo kwa makubaliano mengine ila ametuma Mzigo pungufu tofauti na makubaliano na katika kuulizia amedai nimpeleke popote ninapopajua.
Kwa kweli, ukweli wangu ni kwamba sina uhakika wa kufika dar es salaamu kwa ajili ya kumshtaki ila ushahidi wa sauti na Messege zake zote tangu mwanzo wa makubaliano hadi saizi ninazo.
Swali langu ni kwamba Je? Ninaweza kumshitaki vipi hata nikiwa nje ya Jiji la Dar es salaamu ili nipate haki yangu? Na kama utaratibu huo utakuwepo taratibu zake zipoje?